Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Methali 4:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Usiingie katika njia ya waovu, Wala usitembee katika njia ya wabaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Usijiingize katika njia ya waovu, wala usifuate mwenendo wa watu wabaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Usijiingize katika njia ya waovu, wala usifuate mwenendo wa watu wabaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Usijiingize katika njia ya waovu, wala usifuate mwenendo wa watu wabaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu, wala usitembee katika njia ya wapotovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu wala usitembee katika njia ya watu wabaya.

Tazama sura Nakili




Methali 4:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.


Mwanangu, usiende njiani pamoja nao; Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Usije ukajifunza njia zake; Na kujipatia nafsi yako mtego.


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Jiepushe nayo, usipite karibu nayo, Igeukie mbali, ukaende zako.


Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.


Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo