Methali 31:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Huamka kabla ya mapambazuko, akaitayarishia jamaa yake chakula, na kuwagawia kazi watumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Huamka kabla ya mapambazuko, akaitayarishia jamaa yake chakula, na kuwagawia kazi watumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Huamka kabla ya mapambazuko, akaitayarishia jamaa yake chakula, na kuwagawia kazi watumishi wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Yeye huamka kukiwa bado giza, naye huwapa jamaa yake chakula na wajakazi wake mafungu yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Yeye huamka kungali bado giza huwapa jamaa yake chakula na mafungu kwa watumishi wake wa kike. Tazama sura |