Methali 30:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Ikiwa umefanya kipumbavu kwa kujikuza; Au ikiwa umewaza mabaya; Basi weka mkono wako juu ya kinywa chako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Kama umekuwa mpumbavu hata ukajisifu, au kama umekuwa unapanga maovu, chunga mdomo wako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Kama umekuwa mpumbavu hata ukajisifu, au kama umekuwa unapanga maovu, chunga mdomo wako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Kama umekuwa mpumbavu hata ukajisifu, au kama umekuwa unapanga maovu, chunga mdomo wako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 “Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe, au kama umepanga mabaya, basi funika mdomo wako kwa mkono wako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 “Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe, au kama umepanga mabaya, basi funika mdomo wako na mkono wako. Tazama sura |