Methali 30:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mwenendo wa mwanamke mwasherati ni hivi: Yeye hula, akajipangusa mdomo, na kusema, “Sijafanya kosa lolote!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mwenendo wa mwanamke mwasherati ni hivi: Yeye hula, akajipangusa mdomo, na kusema, “Sijafanya kosa lolote!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mwenendo wa mwanamke mwasherati ni hivi: yeye hula, akajipangusa mdomo, na kusema, “Sijafanya kosa lolote!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 “Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi, hula akapangusa kinywa chake na kusema, ‘Sikufanya chochote kibaya.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 “Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi, hula akapangusa kinywa chake na kusema, ‘Sikufanya chochote kibaya.’ Tazama sura |