Methali 29:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi. Tazama sura |