Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Methali 29:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Mwenye ghadhabu huchochea ugomvi, mtu wa hasira husababisha makosa mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.

Tazama sura Nakili




Methali 29:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu yao na ilaaniwe, maana ilikuwa kali, Na hasira yao, maana ilikuwa haina huruma. Nitawagawa katika Yakobo, Nitawatawanya katika Israeli.


Kuchukiana huleta fitina; Bali kupendana husitiri makosa yote.


Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Apendaye ugomvi hupenda dhambi; Auinuaye sana mlango wake hutafuta uharibifu.


Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira nyingi; Wala usiende na mtu wa ghadhabu nyingi;


Kama makaa juu ya makaa yanayowaka, Na kama kuni juu ya moto; Ndivyo mtu mgomvi achocheavyo uadui.


Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.


Amwendekezaye mtumwa wake tangu utoto, Mwisho wake atakuwa ni mwanawe.


Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.


Maana hapo palipo wivu na ugomvi ndipo palipo machafuko, na kila tendo baya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo