Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 29:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Amwendekezaye mtumwa wake tangu utoto, Mwisho wake atakuwa ni mwanawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Ambembelezaye mtumwa wake tangu utoto, mwishowe mtumwa huyo atamrithi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Ambembelezaye mtumwa wake tangu utoto, mwishowe mtumwa huyo atamrithi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Ambembelezaye mtumwa wake tangu utoto, mwishowe mtumwa huyo atamrithi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.

Tazama sura Nakili




Methali 29:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.


Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.


Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi yake.


Yule wakili akasema moyoni mwake, Nifanyeje? Maana, bwana wangu ananiondolea uwakili. Kulima, siwezi; kuomba, naona haya.


Na mtumwa wake afisa mmoja alikuwa mgonjwa, karibu kufa; naye ni mtu aliyempenda sana.


Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo