Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 29:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Haitoshi mtumwa kuonywa kwa maneno; Maana ajapoyafahamu hataitika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, hata akielewa, hataitikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.

Tazama sura Nakili




Methali 29:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Namwita mtumishi wangu, wala haniitikii, Ingawa namsihi kwa kinywa changu.


Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, Na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.


Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.


Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo