Methali 29:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Pasipo maono ya kinabii watu hukosa nidhamu; heri mtu yule anayeshika sheria. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Pasipo maono ya kinabii watu hukosa nidhamu; heri mtu yule anayeshika sheria. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Pasipo maono ya kinabii watu hukosa nidhamu; heri mtu yule anayeshika sheria. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mahali pasipo na ufunuo, watu huacha kujizuia, bali ana heri mtu yule anayeitii sheria. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria. Tazama sura |