Methali 29:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto asiyeonywa humwaibisha mama yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake. Tazama sura |