Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 28:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Aibaye mali ya babaye au mamaye, na kusema, Si kosa; Mwana huyo ni rafiki wa mtu mharibifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Anayeiba mali ya baba yake au mama yake, akasema si kosa, hana tofauti yoyote na wezi wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Anayeiba mali ya baba yake au mama yake, akasema si kosa, hana tofauti yoyote na wezi wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Anayeiba mali ya baba yake au mama yake, akasema si kosa, hana tofauti yoyote na wezi wengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Yeye amwibiaye babaye au mamaye na kusema, “Si kosa,” yeye ni mwenzi wa yule aharibuye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Yeye amwibiaye babaye au mamaye na kusema, “Si kosa,” yeye ni mwenzi wa yule aharibuye.

Tazama sura Nakili




Methali 28:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mifupa yangu yote itasema, BWANA, ni nani aliye kama Wewe? Umponyaye maskini kutoka kwa mtu aliye hodari kumshinda yeye, Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.


Apotezaye mali za babaye na kumfukuza mamaye, Ni mwana aaibishaye, na kuleta lawama.


Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.


Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.


Naye akamwambia mama yake, Hizo fedha elfu na mia moja ulizoibiwa, na kuweka laana kwa ajili yake na kusema masikioni mwangu, tazama, ninazo mimi hizo fedha; ni mimi niliyezitwaa. Mama yake akasema, Mwanangu na abarikiwe na BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo