Methali 28:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Aibaye mali ya babaye au mamaye, na kusema, Si kosa; Mwana huyo ni rafiki wa mtu mharibifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Anayeiba mali ya baba yake au mama yake, akasema si kosa, hana tofauti yoyote na wezi wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Anayeiba mali ya baba yake au mama yake, akasema si kosa, hana tofauti yoyote na wezi wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Anayeiba mali ya baba yake au mama yake, akasema si kosa, hana tofauti yoyote na wezi wengine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Yeye amwibiaye babaye au mamaye na kusema, “Si kosa,” yeye ni mwenzi wa yule aharibuye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Yeye amwibiaye babaye au mamaye na kusema, “Si kosa,” yeye ni mwenzi wa yule aharibuye. Tazama sura |