Methali 28:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Aliyelemewa na damu ya mtu Atalikimbilia shimo; wala mtu asimzuie. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Mtu anayelemewa na hatia ya kuua mtu, atakuwa mkimbizi mpaka kaburini; mtu yeyote na asijaribu kumzuia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Mtu anayelemewa na hatia ya kuua mtu, atakuwa mkimbizi mpaka kaburini; mtu yeyote na asijaribu kumzuia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Mtu anayelemewa na hatia ya kuua mtu, atakuwa mkimbizi mpaka kaburini; mtu yeyote na asijaribu kumzuia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua atakuwa mtoro hadi kufa; mtu yeyote asimsaidie. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua atakuwa mtoro mpaka kufa; mtu yeyote na asimsaidie. Tazama sura |