Methali 27:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Kama ndege aendaye huku na huko mbali na kitundu chake; Ndivyo alivyo mtu aendaye huku na huko mbali na mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mtu aliyepotea mbali na kwake, ni kama ndege aliyepotea mbali na kiota chake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mtu aliyepotea mbali na kwake, ni kama ndege aliyepotea mbali na kiota chake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mtu aliyepotea mbali na kwake, ni kama ndege aliyepotea mbali na kiota chake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake, ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na nyumbani mwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake, ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na nyumbani mwake. Tazama sura |