Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Methali 26:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo. Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura Nakili




Methali 26:22
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.


Wasingiziaji wamekuwamo ndani yako, ili kumwaga damu; na ndani yako wamekula juu ya milima; kati yako wamefanya uasherati.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo