Methali 25:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mpe maji ya kunywa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mpe maji ya kunywa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mpe maji ya kunywa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale; kama ana kiu, mpe maji anywe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale; kama ana kiu, mpe maji anywe. Tazama sura |
Wakaondoka wale watu waliotajwa majina yao, wakawatwaa wafungwa, wakawavika kwa zile nyara wale wote waliokuwa uchi, wakawapa mavazi na viatu, wakawalisha, wakawanywesha, wakawatia mafuta, wakawapandisha waliokuwa dhaifu miongoni mwao juu ya punda wakawaleta Yeriko, mji wa mitende, kwa ndugu zao; kisha wakarudi Samaria.