Methali 25:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake. Tazama sura |