Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 25:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mjumbe mwaminifu humfurahisha yule aliyemtuma, kama maji baridi wakati wa joto la mavuno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao, huburudisha roho za bwana zake.

Tazama sura Nakili




Methali 25:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mjumbe mbaya huanguka maovuni; Bali mjumbe mwaminifu ni afya.


ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?


Kama vile maji ya baridi kwa mtu mwenye kiu, Ndivyo ilivyo habari njema itokayo katika nchi ya mbali.


Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara.


Kisha Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, na hao wakuu, wakarudi na kuwaacha wana wa Reubeni na wana wa Gadi, wakatoka katika nchi ya Gileadi, na kuingia nchi ya Kanaani; wakawarudia wana wa Israeli, wakawapa habari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo