Methali 20:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Pumzi ya mwanadamu ni taa ya BWANA; Hupeleleza yote yaliyomo ndani yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Dhamiri ya mtu ni taa ya Mwenyezi-Mungu; huchunguza nafsi yake mtu mpaka ndani kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Dhamiri ya mtu ni taa ya Mwenyezi-Mungu; huchunguza nafsi yake mtu mpaka ndani kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Dhamiri ya mtu ni taa ya Mwenyezi-Mungu; huchunguza nafsi yake mtu mpaka ndani kabisa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Taa ya Mwenyezi Mungu huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Taa ya bwana huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani. Tazama sura |