Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

Tazama sura Nakili




Methali 18:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuliko mji wa nguvu; Na mashindano ni kama mapingo ya ngome.


maana ni vizuri kuyahifadhi ndani yako, hali yakithibitika pamoja midomoni mwako.


ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo