Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kujibu kabla ya kusikiliza ni upumbavu na jambo la aibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kujibu kabla ya kusikiliza ni upumbavu na jambo la aibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kujibu kabla ya kusikiliza ni upumbavu na jambo la aibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, huo ni upumbavu wake na aibu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, huo ni upumbavu wake na aibu yake.

Tazama sura Nakili




Methali 18:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akamwambia huyo mwanamke, Nenda nyumbani kwako, nami nitakufanyia agizo.


Ndipo mfalme akamwambia Siba, Tazama, yote yaliyokuwa ni mali ya Mefiboshethi ni yako. Siba akasema, Mimi ninasujudu; na nione kibali machoni pako, Ee bwana wangu, mfalme.


Nilikuwa baba kwa mhitaji, Na kesi ya mtu nisiyemjua niliichunguza.


Ni mtego, mtu aseme kwa haraka, Kitu hiki ni wakfu; Na baada ya kuweka nadhiri kuulizauliza habari.


Basi mfalme aliposikia maneno haya alikasirika sana, akakaza moyo wake ili kumponya Danieli; akajitaabisha kumwokoa hata jua likachwa.


Basi mfalme Dario akayatia sahihi maandiko yale, na ile marufuku.


Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?


ndipo nawe uulize na kutafuta, ukiuliza kwa bidii; nawe angalia, ikiwa kweli, na jambo lile halina shaka, kwamba machukizo mfano wa haya yafanyika katikati yako;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo