Methali 16:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Atakayelitafakari neno atapata mema; Na kila amwaminiye BWANA ana heri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Anayezingatia mafundisho atafanikiwa; heri mtu yule anayemtumainia Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Anayezingatia mafundisho atafanikiwa; heri mtu yule anayemtumainia Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Anayezingatia mafundisho atafanikiwa; heri mtu yule anayemtumainia Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Yeyote anayekubali mafundisho hustawi, tena amebarikiwa yeye anayemtumaini Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Yeyote anayekubali mafundisho hustawi, tena amebarikiwa yeye anayemtumaini bwana. Tazama sura |