Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.

Tazama sura Nakili




Methali 14:33
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.


Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;


Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo