Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Mtu asiye mwepesi wa hasira ana busara kubwa, lakini akasirikaye upesi hukuza upumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Mtu asiye mwepesi wa hasira ana busara kubwa, lakini akasirikaye upesi hukuza upumbavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Mtu asiye mwepesi wa hasira ana busara kubwa, lakini akasirikaye upesi hukuza upumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi, bali anayekasirika haraka huonesha upumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi, bali anayekasirika haraka huonyesha upumbavu.

Tazama sura Nakili




Methali 14:29
20 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa.


Utukufu wa mfalme ni wingi wa watu wake; Bali uchache wa watu ni uharibifu wa mkuu wao.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.


Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.


Asiyetawala roho yake Ni mfano wa mji uliobomolewa, usio na kuta.


Usitoke nje kwa haraka ili kuyashindania; Usije ukakosa kujua la kutenda hatimaye, Mwenzako atakapokuwa amekuaibisha.


Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.


ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi hukaa mahali pa chini.


Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Basi huyo mtu, huyo Musa, alikuwa mpole sana zaidi ya wanadamu wote waliokuwa juu ya uso wa nchi.


Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo