Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 14:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Maskini huchukiwa hata na jirani yake; Bali tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Maskini huchukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Maskini huchukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Maskini huchukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Maskini huepukwa hata na majirani zao, bali matajiri wana rafiki wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Maskini huepukwa hata na majirani zao, bali matajiri wana marafiki wengi.

Tazama sura Nakili




Methali 14:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wote wa mfalme, walioketi langoni pa mfalme, wakainama na kumsujudia Hamani, maana ndivyo mfalme alivyoamuru wamfanyie. Lakini Mordekai hakumwinamia, wala kumsujudia.


Wao hunichukia, na kujitenga nami, Hawaachi kunitemea mate usoni.


Ndipo wakamwendea ndugu zake wote, wanaume kwa wanawake, nao wote waliojuana naye hapo zamani, wakala chakula pamoja naye katika nyumba yake; nao wakampa pole na kumliwaza kwa ajili ya mateso hayo yote aliyoleta BWANA juu yake; kila mtu akampa kipande cha fedha, na pete ya dhahabu kila mmoja.


Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.


Utajiri huongeza marafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo