Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Methali 11:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mtu anayepania kuwa mwadilifu ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mtu anayepania kuwa mwadilifu ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mtu anayepania kuwa mwadilifu ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima, bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima, bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.

Tazama sura Nakili




Methali 11:19
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, BWANA asema hivi, Kwa kuwa umetuma wajumbe waulize kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni, je! Ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli, uulize neno lake? Kwa hiyo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.


Basi sasa, BWANA asema hivi, Hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa. Eliya akaondoka.


Kazi yake mwenye haki huuelekea uzima; Mazao ya wabaya huielekea dhambi.


Mali hazifaidii kitu siku ya ghadhabu; Bali haki huokoa na mauti.


Katika njia ya haki kuna uhai; Wala hakuna mauti katika mapito yake.


Kumcha BWANA huelekea uhai; Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.


Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.


Aandamaye haki na fadhili, Ataona uhai na haki na heshima.


Bali anikosaye hujidhuru nafsi yake mwenyewe, Na wao wanichukiao hupenda mauti.


bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye.


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Yaliyo haki kabisa ndiyo utakayoyafuata, ili upate kuishi na kuirithi nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.


Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu yeyote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.


Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo