Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Methali 1:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Hekima hulia kwa sauti katika njia kuu, Hupaza sauti yake katika viwanja;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Hekima huita kwa sauti barabarani, hupaza sauti yake sokoni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Hekima huita kwa sauti barabarani, hupaza sauti yake sokoni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Hekima huita kwa sauti barabarani, hupaza sauti yake sokoni;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hekima huita kwa sauti kuu barabarani, hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hekima huita kwa sauti kuu barabarani, hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa;

Tazama sura Nakili




Methali 1:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji hutamka maneno yake.


Hekima ameijenga nyumba yake, Amezichonga nguzo zake saba;


Amewatuma wajakazi wake, analia, Mahali pa mjini palipoinuka sana,


ukatoke uende mpaka bonde la mwana wa Hinomu lililo karibu na mahali pa kuingia kwa lango la vigae, ukahubiri huko maneno nitakayokuambia,


Na alipofika mji wa kwao, akawafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa, wakasema, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii?


Na kwa sababu hiyo hekima ya Mungu ilisema, Tazama, nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua baadhi yao na kuwafukuza,


Katika siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.


bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wagiriki, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.


Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;


ambaye ndani yake yeye hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo