Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wao huvizia na kujiangamiza wao wenyewe, hutega mtego wa kujinasa wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wao huvizia na kujiangamiza wao wenyewe, hutega mtego wa kujinasa wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wao huvizia na kujiangamiza wao wenyewe, hutega mtego wa kujinasa wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe!

Tazama sura Nakili




Methali 1:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.


Wakisema, Haya! Njoo pamoja nasi, Na tuvizie ili kumwaga damu; Tumwotee asiye na hatia, bila sababu;


Kwa kuwa mtego hutegwa bure, Mbele ya macho ya ndege yeyote.


Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.


Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.


Aliyelemewa na damu ya mtu Atalikimbilia shimo; wala mtu asimzuie.


Bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo