Mathayo 9:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 Basi mwombeni Bwana wa mavuno, atume wafanya kazi katika mavuno yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili atume watendakazi katika shamba lake la mavuno.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Kwa hiyo mwombeni Mwenyezi Mungu, Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.” Tazama sura |