Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 “Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 “Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 “Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 “Usihukumu ili usije ukahukumiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 “Usihukumu ili usije ukahukumiwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 7:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lisikilizeni neno la BWANA, ninyi mtetemekao kwa sababu ya neno lake; Ndugu zenu wawachukiao ninyi, waliowatupa kwa ajili ya jina langu, wamesema, Na atukuzwe BWANA, tupate kuiona furaha yenu; lakini watatahayarika.


Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.


Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.


Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; sameheni, nanyi mtasamehewa.


Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?


Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo