Mathayo 6:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 “Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 “Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 “Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ Au ‘Tutakunywa nini?’ Au ‘Tutavaa nini?’ Tazama sura |