Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 5:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:21
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akanena, akisema, Watu hunena zamani za kale, wakisema, Wasikose kuuliza huko Abeli; ndivyo walivyoleta suluhu.


Akateua waamuzi katika nchi, katikati ya miji yote yenye maboma ya Yuda, mji kwa mji;


Na hiyo miji itakuwa kwenu kuwa makimbilio, kumkimbia mwenye kulipiza kisasi, ili asiuawe mwenye kumwua mtu, hata atakaposimama mbele ya mkutano ahukumiwe.


Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;


Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana viapo vyako;


Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino;


Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;


Weka waamuzi na maofisa katika malango yako yote akupayo BWANA, Mungu wako, kwa hesabu ya kabila zako; nao wawaamue watu kwa maamuzi ya haki.


Kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji: nanyi mnajua ya kuwa kila mwuaji hana uzima wa milele ukaao ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo