Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lililoandikwa, “Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lililoandikwa, “Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lililoandikwa, “Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Juu ya kichwa chake, kwenye msalaba, wakaandika shtaka lake hivi: Huyu ni Isa Mfalme wa Wayahudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Juu ya kichwa chake, kwenye msalaba, wakaandika shtaka lake hivi: huyu ni isa, mfalme wa wayahudi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati uo huo wanyang'anyi wawili wakasulubiwa pamoja naye, mmoja katika mkono wake wa kulia, na mmoja katika mkono wake wa kushoto.


Yeye ni mfalme wa Israeli; na ashuke sasa msalabani, nasi tutamwamini.


Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.


Na juu yake palikuwa na anwani; HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo