Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Walipokwisha kumsulubisha, waligawana mavazi yake, kwa kupiga kura; [ili litimie neno lililonenwa na nabii, Waligawa nguo zangu kati yao, na juu ya vazi langu walipiga kura.]

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Walipokwisha kumsulubisha, wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Walipokwisha kumsulubisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:35
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana mbwa wamenizunguka; Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenidunga mikono na miguu.


Wanagawanya nguo zangu, Na vazi langu wanalipigia kura.


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.


Naye akiisha kusema hayo, akawaonesha mikono yake na ubavu wake. Basi wale wanafunzi wakafurahi walipomwona Bwana.


Basi wanafunzi wengine wakamwambia, Tumemwona Bwana. Akawaambia, Mimi nisipoziona mikononi mwake kovu za misumari, na kutia kidole changu katika mahali pa misumari, na kutia mkono wangu katika ubavu wake, mimi sisadiki hata kidogo.


Kisha akamwambia Tomaso, Lete hapa kidole chako; uitazame mikono yangu; ulete na mkono wako uutie ubavuni mwangu, wala usiwe asiyeamini, bali aaminiye.


mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo