Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.


Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapunguka.


Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.


Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hadi mwisho, ndiye atakayeokoka.


Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu.


Na zile penye udongo mzuri, ndio wale ambao kwa unyofu na wema wa mioyo yao hulisikia neno, na kulishika; kisha huzaa matunda kwa kuvumilia.


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


ambaye atawathibitisha hata mwisho, ili msilaumiwe siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.


Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali tumo miongoni mwa hao walio na imani ya kutuokoa roho zetu.


Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo, kama tukishikamana na mwanzo wa uthabiti wetu kwa nguvu mpaka mwisho;


bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na fahari ya tumaini letu mpaka mwisho.


Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji la uzima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo