Mathayo 23:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 na kusema, Kama sisi tungalikuwako zamani za baba zetu, hatungalishirikiana nao katika damu ya manabii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Mwasema: ‘Kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Mwasema: ‘Kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Mwasema: ‘Kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Nanyi mwasema, ‘Kama tungeishi wakati wa baba zetu, hatungeshiriki katika kumwaga damu ya manabii!’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Nanyi mwasema, ‘Kama tungaliishi wakati wa baba zetu, tusingalikuwa tumeshiriki katika kumwaga damu ya manabii!’ Tazama sura |