Mathayo 22:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama sura |