Mathayo 2:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Basi, akawaita pamoja makuhani wakuu wote na waalimu wa sheria, akawauliza, “Kristo atazaliwa wapi?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Basi, akawaita pamoja makuhani wakuu wote na waalimu wa sheria, akawauliza, “Kristo atazaliwa wapi?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Basi, akawaita pamoja makuhani wakuu wote na waalimu wa sheria, akawauliza, “Kristo atazaliwa wapi?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa Torati, akawauliza ni wapi ambapo Al-Masihi angezaliwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa Torati, akawauliza ni mahali gani ambapo Al-Masihi angezaliwa. Tazama sura |