Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 2:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Akainuka akamchukua mtoto na mamaye, akaenda katika nchi ya Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea nchini Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea nchini Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea nchini Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Basi Yusufu, akainuka, akamchukua mtoto na mama yake wakaenda hadi nchi ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Basi Yusufu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.

Tazama sura Nakili




Mathayo 2:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.


akasema, Inuka, umchukue mtoto na mamaye, ushike njia kwenda nchi ya Israeli; kwa maana wamekufa walioitafuta roho ya mtoto.


Lakini aliposikia ya kwamba Arkelao anatawala huko Yudea mahali pa Herode babaye, aliogopa kwenda huko; naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda pande za Galilaya,


Kwa imani Abrahamu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo