Mathayo 18:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’ Tazama sura |