Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 14:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Nao walipopanda katika mashua, upepo ulikoma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?


Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;


Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo