Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

49 Akawanyoshea mkono wanafunzi wake, akasema, Tazama, Mama yangu na ndugu zangu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Kisha akaunyosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema, “Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Kisha akaunyosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema, “Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Kisha akaunyosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema, “Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Akawanyooshea mkono wanafunzi wake, akasema, “Hawa hapa ndio mama yangu na ndugu zangu!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Akawanyooshea mkono wanafunzi wake, akasema, “Hawa hapa ndio mama yangu na ndugu zangu!

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:49
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akamwambia yule aliyempasha habari, Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?


Kwa maana yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye kaka yangu, na dada yangu na mama yangu.


Nanyi nendeni upesi, mkawaambie wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu. Tazama, awatangulia kwenda Galilaya; ndiko mtakakomwona. Haya, nimekwisha waambia.


Akawatazama wale walioketi wakimzunguka pande zote, akasema, Tazama, mama yangu na ndugu zangu!


Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo