Matendo 9:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Ikawa siku zile akaugua, akafa; wakati walipokwisha kumwosha, wakamweka ghorofani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakaulaza katika chumba ghorofani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakaulaza katika chumba ghorofani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakaulaza katika chumba ghorofani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Wakati huo akaugua, akafa, na wakauosha mwili wake wakauweka katika chumba cha ghorofani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Wakati huo akaugua, akafa na wakiisha kuuosha mwili wake wakauweka katika chumba cha ghorofani. Tazama sura |