Matendo 8:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 Akaamuru lile gari lisimame; wakateremka wote wawili majini, Filipo na yule towashi; naye akambatiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo towashi wakashuka majini, naye Filipo akambatiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo towashi wakashuka majini, naye Filipo akambatiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo towashi wakashuka majini, naye Filipo akambatiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Naye akaamuru lile gari lisimamishwe. Filipo na yule towashi wakateremka kwenye maji pamoja, naye Filipo akambatiza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Naye akaamuru lile gari lisimamishwe. Wakateremka kwenye maji wote wawili, yule towashi na Filipo, naye Filipo akambatiza. Tazama sura |