Matendo 7:60 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC60 Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona kitendo cha kuuawa kwake kuwa sawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema60 Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: “Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.” Baada ya kusema hivyo, akafa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND60 Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: “Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.” Baada ya kusema hivyo, akafa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza60 Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: “Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.” Baada ya kusema hivyo, akafa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu60 Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana, usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema hayo, akalala. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu60 Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa, akasema, “Bwana Isa, usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema hayo, akalala. Tazama sura |