Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 7:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Musa alipouona, akastaajabia maono yale, na alipokaribia ili atazame, sauti ya Bwana ikamjia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Mose alistaajabu sana kuona tukio hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya Bwana:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Mose alistaajabu sana kuona tukio hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya Bwana:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Mose alistaajabu sana kuona tukio hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya Bwana:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Alipoona mambo haya, alishangaa yale maono. Aliposogea ili aangalie kwa karibu, akaisikia sauti ya Mwenyezi Mungu, ikisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Alipoona mambo haya, alishangaa yale maono. Aliposogea ili aangalie kwa karibu, akaisikia sauti ya Mwenyezi Mungu, ikisema:

Tazama sura Nakili




Matendo 7:31
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Hata miaka arubaini ilipotimia, malaika wa Bwana akamtokea katika jangwa la mlima wa Sinai katika muali wa moto, kichakani.


Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. Musa akatetemeka, asithubutu kutazama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo