Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 7:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wakati alipotupwa, binti Farao akamtwaa, akamlea awe kama mwanawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Walipomweka nje mtoni, binti Farao akamchukua akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Matendo 7:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nilisema, Ningewatawanyia mbali, Ningekomesha kumbukumbu lao kati ya wanadamu;


Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo