Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 5:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Basi sasa nawaambia, Jiepusheni na watu hawa, waacheni; kwa kuwa shauri hili au kazi hii ikiwa imetoka kwa binadamu, itavunjwa,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli yao hii imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli yao hii imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli yao hii imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kwa hiyo, kwa habari ya jambo hili nawashauri, jiepusheni na watu hawa. Waachieni waende zao! Kwa maana kama kusudi lao na shughuli yao imetokana na mwanadamu, haitafanikiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kwa hiyo, kwa habari ya jambo hili nawashauri, jiepusheni na watu hawa. Waacheni waende zao! Kwa maana kama kusudi lao na shughuli yao imetokana na mwanadamu, haitafanikiwa.

Tazama sura Nakili




Matendo 5:38
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha ikawa, adui zetu waliposikia ya kuwa tumekwisha kupata habari, na ya kuwa Mungu amelibatilisha shauri lao, ndipo sisi sote tukarudi ukutani, kila mtu kwa kazi yake.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


kwamba nitamvunja huyo Mwashuri vipande vipande katika nchi yangu, na juu ya mlima wangu nitamkanyaga chini ya miguu yangu; ndipo nira yake iliyo juu yao itakapoondoka, na mzigo wake utatoka mabegani mwao.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa.


Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.


Tukimwacha hivi, watu wote watamwamini; na Warumi watakuja, watatuondolea mahali petu na taifa letu.


akawaambia, Enyi wanaume wa Israeli, jihadharini jinsi mtakavyowatenda watu hawa.


Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo