Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 5:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakapanga kuwaua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Wajumbe wote wa lile Baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Wajumbe wote wa lile Baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Wajumbe wote wa lile Baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Wale wajumbe wa Baraza la Wazee waliposikia haya, walijawa na ghadhabu, wakataka kuwaua mitume.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Wale wajumbe wa baraza la wazee waliposikia haya, walijawa na ghadhabu, wakataka kuwaua mitume.

Tazama sura Nakili




Matendo 5:33
20 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.


Na ndugu atamsaliti nduguye ili auawe, na baba atamsaliti mwana, na wana watawainukia wazazi wao, na kuwaua.


Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?


Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.


Nao waandishi na wakuu wa makuhani walitaka kumkamata saa iyo hiyo, wakawaogopa watu, maana walitambua ya kwamba mfano huu amewanenea wao.


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.


Watawatenga na masinagogi; naam, saa inakuja kila mtu awauaye atakapodhania ya kuwa anamfanyia Mungu ibada.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Wakamsikiliza mpaka neno lile, wakapaza sauti zao, wakisema, Mwondoe huyu katika nchi, kwa maana haifai aishi.


Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.


Hata siku nyingi zilipopita, Wayahudi wakafanya shauri ili wamwue;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo