Matendo 5:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Na sisi tu mashahidi wa mambo haya, pamoja na Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wote wanaomtii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Sisi ni mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii, anashuhudia pia tukio hilo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Sisi ni mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii, anashuhudia pia tukio hilo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Sisi ni mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii, anashuhudia pia tukio hilo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Nasi tu mashahidi wa mambo haya, vivyo hivyo na Roho Mtakatifu wa Mungu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Nasi tu mashahidi wa mambo haya, vivyo hivyo na Roho wa Mwenyezi Mungu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii.” Tazama sura |