Matendo 5:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimwua mkimtundika katika mti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Mungu wa babu zetu alimfufua Yesu baada ya nyinyi kumuua kwa kumtundika msalabani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Mungu wa babu zetu alimfufua Yesu baada ya nyinyi kumuua kwa kumtundika msalabani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Mungu wa babu zetu alimfufua Yesu baada ya nyinyi kumuua kwa kumtundika msalabani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Mungu wa baba zetu alimfufua Isa kutoka kwa wafu, ambaye ninyi mlimuua kwa kumtundika kwenye msalaba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Mungu wa baba zetu alimfufua Isa kutoka kwa wafu, ambaye ninyi mlimuua kwa kumtundika kwenye msalaba. Tazama sura |