Matendo 28:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 akihubiri habari za ufalme wa Mungu, na kuyafundisha mambo ya Bwana Yesu Kristo, kwa ujasiri mwingi, asikatazwe na mtu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Alikuwa akihubiri ufalme wa Mungu na kufundisha juu ya Bwana Yesu Kristo kwa uhodari, bila kizuizi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Alikuwa akihubiri ufalme wa Mungu na kufundisha juu ya Bwana Yesu Kristo kwa uhodari, bila kizuizi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Alikuwa akihubiri ufalme wa Mungu na kufundisha juu ya Bwana Yesu Kristo kwa uhodari, bila kizuizi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Akahubiri ufalme wa Mungu na kufundisha mambo yale yaliyomhusu Bwana Isa Al-Masihi, kwa ujasiri wote na bila kizuizi chochote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Akahubiri Ufalme wa Mwenyezi Mungu na kufundisha mambo yale yaliyomhusu Bwana Isa Al-Masihi, kwa ujasiri wote na bila kizuizi chochote. Tazama sura |