Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 28:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Wengine waliamini yale yaliyonenwa, wengine hawakuyaamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Baadhi yao walikubali maneno yake, lakini wengine hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Baadhi yao walikubali maneno yake, lakini wengine hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Baadhi yao walikubali maneno yake, lakini wengine hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Baadhi wakasadiki yale aliyosema, lakini wengine hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Baadhi wakasadiki yale aliyosema, lakini wengine hawakuamini.

Tazama sura Nakili




Matendo 28:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini jamii ya watu wa mjini wakafarakana; hawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa mitume.


Na walipokuwa hawapatani wao kwa wao, wakaenda zao, Paulo alipokwisha kusema neno hili moja, ya kwamba, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya,


Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutoamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo